Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza

Rais Magufuli (katikati)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 24 Juni, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa daraja la baharini katika eneo la Selander.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS