Mkuu wa Wilaya apambana na wachawi njia panda

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Anamringi Macha

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ushirikina katika eneo la Njiapanda inayoelekea nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Anamringi Macha, imeelezwa kuwa watahakikisha unawekwa ulinzi maalumu  ili kuweza kuwabaini na ikiwezekana kuwakamata watu  wote wanaofanya ushirikina huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS