Spika Ndugai ataka Mwakyembe afanyiwe hili

Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba Waziri mkuu kumruhusu Waziri na Michezo Harrison Mwakyembe na Naibu na Waziri Juliana Shonza kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuiunga mkono timu ya Taifa ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS