Mfalme wa Tooro, Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV
Kuelekea michezo ya pili ya Kundi A kwenye michuano ya AFCON 2019 inayoendelea nchini Misri, timu ya taifa ya Uganda imekutana na viongozi mbalimbali kwenye kambi yake wakiwemo wa michezo na wa kimila.