Hamuwezi kuendelea na maisha msiponitaja? -Nape

Nape Nnauye akiwa na Zitto Kabwe pamoja na January Makamba.

Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Nnauye amezungumzia kuhusiana na kutajwa katika ujumbe uliochapishwa kwenye akaunti ya kijamii ya Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS