Hudson Kamoga aagizwa kumsaka mwizi

Mkurugenzi wa Wilaya ya Mbulu Hudson Kamoga

Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu, Hudson Kamoga, kuhakikisha anapata jina la Afisa Utumishi aliyekuwa anatoa mishahara kwa wafanyakazi hewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS