Mwenge wa Uhuru wakabidhiwa Kinondoni

Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo wakikabidhiana Mwenge.

Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema leo Julai 20 amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, ambapo utazunguka na kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali iliyotekelezwa katika Manispaa hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS