Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Taifa Humfrey Polepole.
Chama cha mapinduzi CCM kimetoa onyo kwa baadhi ya viongozi watakaotumika kuingiza mamuruki ya watu, ili kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwishoni mwa mwaka huu nchini kote.