Moni na mpenzi wake wazungumzia kuhongwa saluni Moni Central Zone na mpenzi wake Official Nai Msanii wa Bongo Fleva na mkali wa hip hop nchini, Moni Central zone amezungumzia juu ya tuhuma kwamba yeye pamoja na mpenzi wake mwanadada 'Official Nai' kuhongwa saluni. Read more about Moni na mpenzi wake wazungumzia kuhongwa saluni