Lissu amshangaa Ndugai
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ameshangazwa na hatua ya Spika Ndugai kutangaza kuwa jimbo lake liko wazi kwa kutohudhuria vikao vya Bunge, huku akieleza Spika anafahamu alipo kwa sababu alishawahi kutembelewa na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson akiwa nchini Ubelgiji kikazi.