Dengue yaahirisha kesi ya viongozi wa CHADEMA

Viongozi mbalimbali wa CHADEMA

Kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe pamoja na viongozi wengine saba wa chama hicho imeahirishwa leo Juni 2 2019 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS