Zanzibar: Injinia wa Meli ajinyonga safarini

Meli ya MV Mapinduzi

Mtu mmoja anayetajwa kuwa Injinia wa Meli ya MV Mapinduzi inayofanya safari zake Unguja na Pemba, Haji Abdallah Khatib, amejinyonga wakati Meli hiyo ikiwa safarini kutoka Unguja kwenda Pemba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS