Nape azungumzia uteuzi wa Bashe, amuita Makamba
Baada ya mawaziri, George Simbachawene na Hussein Bashe kuapishwa asubuhi ya leo, Julai 22, 2019 na Rais Magufuli, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Mbunge wa Mtama, Nape Moses Nnauye amewatumia salamu za pongezi viongozi hao.