"Wanafunzi vyuo vikuu hawajui kuoga" - Dkt Shule
Mhadhiri wa Kitivo cha Sanaa ya Ubunifu, Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dkt Vicensia Shule, amewaomba wazazi kuwajengea watoto wao ujuzi wa masuala ya usafi na kujitegemea kuanzia ngazi ya chini ili kuwaepusha kuwa mizigo isiyobebeka.

