Messi awaumbua waandaaji wa Copa America Lionel Messi akipewa kadi nyekundu kwenye mchezo dhidi ya Chile Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi hakumaliza mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu usiku wa jana dhidi ya Chile, baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu. Read more about Messi awaumbua waandaaji wa Copa America