Waziri azindua treni ya SGR ya majaribio

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, wakati wa ufunguzi wa safari za majaribio katika reli ya kisasa

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amezindua Safari ya kwanza ya majaribio ya treni ya Wahandisi kwenye eneo la Soga lililopo Kibaha Mkoani Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS