Mwakyembe atoa hatma ya Amunike, Taifa Stars
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema bado Serikali ina imani na kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Emmanuel Amunike, na kueleza kwa sasa wamempa mda zaidi kwa ajili ya kuiandaa timu ya taifa ya Tanzania kuekelea michuano ijayo ya CHAN.