Aua mtu kisa kusikiliza muziki

Kushoto ni marehemu na kulia ni mtuhumiwa wa kesi ya mauji

Michael Adams, Mkazi wa nchini Marekani anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kesi ya mauaji ya kijana mwenye umri wa miaka 17, kwa kumpiga na kumkaba hadi kufariki kwa sababu ya kusikiliza muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS