Waziri atoa maagizo mawili kwa IGP Sirro

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kuhakikisha ulinzi unaongezwa katika jengo jipya (Terminal 3) la uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Julius Nyerere.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS