Kesi ya kupinga sheria ya ndoa yaunguruma

Rufaa ya kesi ya kupinga sheria ya ndoa ya mwaka 1971, iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa taasisi ya Msichana Initiative Rebecca Gyumi, leo Julai 24 imeanza kusikilizwa katika mahakama ya Rufani ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS