Haji Manara afunguka kuhusu kufukuzwa kazi Simba Msemaji wa klabu ya soka ya Simba Haji Manara amesema yeye bado ni msemaji wa Simba na hakuna kitu chochote, tofauti na inavyoelezwa mitandaoni kuwa amefukuzwa kazi. Read more about Haji Manara afunguka kuhusu kufukuzwa kazi Simba