Sprite BBall Kings

Katika kukuza vipaji na kurudisha heshima ya mpira wa kikapu Tanzania, mashindano ya Sprite BBall Kings yameanzishwa na Kituo cha East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa ushirikiano wa kinywaji cha Sprite.

Mei 3, 2017 mashindano haya yalizinduliwa rasmi kwa jumla ya timu 52 toka pande mbalimbali Tanzania kujisajili.

Usahili wa timu, Hatua ya kufuzu , Timu 16 bora, Robo fainali, Nusu fainali na Fainali , ni hatua 6 muhimu zinazozingatiwa katika mashindano haya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS