Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Avemalia Semakafu na Mwalimu idara ya elimu ya sanyansi nchini China He yozhou.
Baada ya mahusiano mazuri ya kiuchumi kati Tanzania na China, serikali kupitia wizara ya elimu sayansi na Teknolojia imeona umuhimu wa matumizi ya lugha ya kichina hapa nchini.