Irene Uwoya na Steve Nyerere waitwa

Irene Uwoya na Steve Nyerere

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amesema kuwa wameamua kumuita msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya pamoja na Steve Nyerere, kufuatia kitendo alichokifanya Irene cha kuwarushia pesa waandishi wahabari katika mkutano wa wasanii, uliofanyika Julai 15, Dar

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS