Irene Uwoya na Steve Nyerere waitwa
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amesema kuwa wameamua kumuita msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya pamoja na Steve Nyerere, kufuatia kitendo alichokifanya Irene cha kuwarushia pesa waandishi wahabari katika mkutano wa wasanii, uliofanyika Julai 15, Dar