DAR: Amuua mkewe na kumchoma moto, DNA yasubiriwa

Picha ya moto

Jeshi la Polisi kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia mwanaume mmoja jina Khamis Luwonga maarufu kama 'Meshack' kwa tuhuma za kumuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani kwa jina jingine 'Sandra'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS