Dude aijibu kauli ya Makonda

Kulwa Kikumba (Dude)

Msanii wa muda mrefu kutoka tasnia ya Bongo Movie hapa nchini Tanzania Kulwa Kikumba maarufu kama "Dude", amefunguka kuhusu kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwa wasanii wengi ni ombaomba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS