Victoria Kimani amtupia lawama Beyonce

Victoria Kimani (kushoto) na Beyonce.

Msanii wa kike kutokea nchini Kenya Victoria Kimani, amemtupia dongo la lawama staa wa muziki wa RnB na Pop Duniani Beyonce "Queen B" kwa kosa la kuwatenga wasanii wa Kenya na wasanii wa Africa Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS