Mbatia ataka mabadiliko haya kwenye elimu
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewataka wakuu wa nchi 16 zinazounda Jumuiya ya SADC, katika mkutano ujao kufikiria kuja na ajenda ya pamoja, juu ya kuwa na sera ya pamoja ya elimu kwa nchi wanachama.

