Dkt. Bashiru atoa tamko na onyo kwa wana CCM

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Bashiru Ally amesema wana CCM watakaofanya marumbano ya rejareja yanayoendelea hivi sasa, hawatasita kuwachukulia hatua mara moja na kwamba waige mfano wa kukaa kimya kama afanyavyo kiongozi wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS