Katambi aeleza Kitanzi na P2 zilivyoleta madhara
Njia za uzazi wa mpango zimekuwa zikitumika sana kwa wadada, wanawake na akina mama nchini, lakini zikitumika bila madhara zinaweza kuleta changamoto ya uzazi kama ambavyo mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Mh. Patrobas Katambi ameamua kushughulika na tatizo hilo.

