Kigoma : Mwalimu Mkuu ampa mimba mwanafunzi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma, imeanza kusikiliza shauri la awali la makosa saba, likiwamo la kubaka mara sita na kumpa mimba mwanafunzi, yanayomkabili Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, Janson Rwekaza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS