Wakutwa na Visa feki 2000

Idara ya Uhamiaji nchini, imemkamata Jasmin Ngongolo, mkazi wa Dar es Salaam, katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na stika feki za Visa 2,546 za Tanzania akitokea Afrika ya Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS