Wakutwa na Visa feki 2000 Idara ya Uhamiaji nchini, imemkamata Jasmin Ngongolo, mkazi wa Dar es Salaam, katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na stika feki za Visa 2,546 za Tanzania akitokea Afrika ya Kusini. Read more about Wakutwa na Visa feki 2000