Rais Magufuli ataja tatizo la viongozi Afrika
Rais John Pombe Magufuli, ametoa wito kwa Mataifa ya Afrika kutafsiri vizuri dhana ya uhuru na kujiepusha na masalia ya fikra za kikoloni za kuamini watawala wa zamani wa Afrika ndiyo wenye uwezo wa kusaidia kuendeleza rasilimali za Afrika.

