''Hata mkiniua leo hamuwezi kupona'' - Mpina

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, ametangaza kiama kwa wavuvi haramu waliohusika katika mauaji ya watu wanne, akiwemo ofisa mfawidhi wa rasilimali za uvuvi kanda ya Ukerewe yaliyotokea hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS