RC amesema waliomshambulia DC wamechagua kuuawa
Mkuu wa Mkoa Mbeya, Albert Chalamila, amesema wananchi ambao walishambulia msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Kyela Claudi Kitta, wamechagua kuuawa, kwa kile alichokieleza wao walionesha nia ya kumuua Mkuu huyo wa Wilaya.

