Makonda alalamikia hujuma ufukwe wa Coco Beach
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, ametoa mwezi mmoja kwa Manispaa ya Kinondoni kuanza ujenzi wa mradi wa ufukwe wa Coco Beach, kwa kile alichokidai Manispaa hiyo imekuwa ikichelewesha mradi huo.