Waziri wa utalii akamatwa kwa utakatishaji fedha

Fedha zilizokamatwa

Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa nchini Zimbabwe (ZACC), imemkamata Waziri anayeshughulikia masuala ya mazingira na utalii, Prisca Mupfumira akidaiwa kuhusika katika utakatishaji wa fedha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS