Waziri wa utalii akamatwa kwa utakatishaji fedha Fedha zilizokamatwa Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa nchini Zimbabwe (ZACC), imemkamata Waziri anayeshughulikia masuala ya mazingira na utalii, Prisca Mupfumira akidaiwa kuhusika katika utakatishaji wa fedha. Read more about Waziri wa utalii akamatwa kwa utakatishaji fedha