Sugu afunga ndoa na mpenzi wake,wabunge wampongeza

Joseph Mbilinyi na mke wake Happiness Msonga

Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi 'Mr.II Sugu' leo tarehe 31/08, 2019, amefunga ndoa na mpenzi wake Happiness Msonga, katika kanisa Katoliki Ruanda Jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS