Ajali ya Rufiji : Ndugu watakiwa kupimwa DNA

Ajali ya gari la kampuni ya Dangote

Hospitali ya Taifa ya Muhmbili imesema itaanza kutumia vipimo va DNA kwa ajili ya kuwatambua marehemu waliofariki kwenye ajali iliyotokea Kibiti ambapo kwa sasa miili yao imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS