KATAVI: Mwili wa mtoto wakutwa makaburini Picha ya makaburi Mwili wa mtoto anayefahamika kwa jina la Kelvin Stephano (12), umeokotwa katika makaburi yaliyopo mtaa wa Nsemulwa kwa Mkumbo, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ukiwa umekwishaharibika. Read more about KATAVI: Mwili wa mtoto wakutwa makaburini