KATAVI: Mwili wa mtoto wakutwa makaburini

Picha ya makaburi

Mwili wa mtoto anayefahamika kwa jina la Kelvin Stephano (12), umeokotwa katika makaburi yaliyopo mtaa wa Nsemulwa kwa Mkumbo, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ukiwa umekwishaharibika. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS