"Tutie mimba ndiyo mjue tunafanya kazi" - UVCCM
Mwenyekiti wa Jumuiya Vjana ya CCM (UVCCM) Taifa, Kheri James amesema chama hicho kitaendelea kuwapuuza baadhi ya watu wanaojifanya hawaoni mafanikio na juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli, na kueleza watatumia njia mbalimbali ili kuwaonesha kazi zinazofanywa.