Aliyempa hongo DC kufikishwa mahakamani

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma, inawashikilia baba na mwanaye kwa kosa la kuahidi na kutoa hongo ya shilingi milioni moja na laki mbili kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS