Aliyempa hongo DC kufikishwa mahakamani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma, inawashikilia baba na mwanaye kwa kosa la kuahidi na kutoa hongo ya shilingi milioni moja na laki mbili kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi. Read more about Aliyempa hongo DC kufikishwa mahakamani