'Hamtajuta mkiwekeza Tanzania' - Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na viongozi wa kampuni ya Toshiba nchini Japani, ambapo amewashawishi waje nchini na wafungue ofisi kubwa na waanzishe viwanda vya bidhaa za elektroniki watakavyoona vinafaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS