Tanzania na Zimbabwe 'zasusana' kwa miaka 21
Tanzania na Zimbabwe zimetiliana saini hati tano za makubaliano ya ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwa ni kutekeleza maelekezo ya Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ya kuhakikisha nchi hizo zinashirikiana katika