Kesi ya mwandishi yashindwa kusikilizwa
Kesi ya madai ya dhamana iliyofunguliwa na mawakili kutoka Mtandao wa kutetea Haki za Binadamu (THRDC) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya mteja wao ambaye ni mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera imeshindwa kuendelea kusikilizwa baada ya upande wa washtakiwa