Kama alivyosema Makonda ''Wameoga'' - Kamwelwe
Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amemuomba Rais Magufuli uwekwe utaratibu kwa ajili ya kulifanyia ukarabati wa Jengo la pili la Abiria ili liwe na uwezo wa kubeba abiria wengi zaidi.