Atumbuliwa kwa kutumia 66mil kununua sumu ya mchwa

Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jaffo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo Agosti 1, ametengua uteuzi wa  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Vijini Kayombe Rioba baada ya utendaji wake  wa usimamizi wa miradi ya maendeleo kutoridhisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS