Akamatwa kwa kujifanya mkuu wa TAKUKURU TAKUKURU Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara inamshikilia mtu mmoja ajulikanae kwa jina la Shabani Mohamed Kalla (30) kwa kosa la kujifanya mkuu wa Takukuru Mkoani humo. Read more about Akamatwa kwa kujifanya mkuu wa TAKUKURU