Manara awaahidi Yanga, "naacha kazi wakituzidi" Haji Manara Afisa Habari wa Simba, Haji Manara ameahidi kuachia ngazi kwenye nafasi yake ndani ya klabu hiyo endapo mahasimu wao Yanga watawazidi kwa kujaza uwanja katika mechi zao. Read more about Manara awaahidi Yanga, "naacha kazi wakituzidi"