Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo.
Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema wizara yake inafanyakazi kubwa kwa kusisimia fedha zaidi ya Trillioni 6 kwenye bajeti kuu ya serikali.