Zahera awapa neno kali wachezaji wapya

Baadhi ya wachezaji wapya wa Yanga

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amewapa tahadhari wachezaji wake wapya waliosajiliwa msimu huu kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara VPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS