Zahera awapa neno kali wachezaji wapya Baadhi ya wachezaji wapya wa Yanga Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amewapa tahadhari wachezaji wake wapya waliosajiliwa msimu huu kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara VPL. Read more about Zahera awapa neno kali wachezaji wapya