Lissu kuanza kupigania Ubunge wake

Kesi ya kupinga kuvuliwa ubunge iliyofunguliwa na Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa kesho, baada ya Mahakama kuu ya Tanzania kutoa wito ya kuwataka wahusika katika shauri hilo kufika mahakamani kesho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS