Lissu kuanza kupigania Ubunge wake Kesi ya kupinga kuvuliwa ubunge iliyofunguliwa na Tundu Lissu inatarajiwa kuanza kusikilizwa kesho, baada ya Mahakama kuu ya Tanzania kutoa wito ya kuwataka wahusika katika shauri hilo kufika mahakamani kesho. Read more about Lissu kuanza kupigania Ubunge wake