Sheikh Mkuu atangaza sikukuu ya Idd

Sheikh Mkuu, Abubakar Zubeir Bin Ally

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametangaza kuwa sikukuu ya Idd El-Adh'haa itakuwa siku ya Jumatatu, Agosti 12, 2019. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS